AINA 15 ZA HASIRA ZA MWANAMKE


 AINA 14 ZA HASIRA ZA WANAWAKE

Mwanamke jua wewe ni Namba ngapi na Mwanaume jua mke wako anaangukia kundi gani

1. Kuna mwanamke ambaye akikasirika, huishia

kulia tuu!

2. Lakini mwingine akichukia, anaongea saanaa

muda wote hadi ikukere!

3. Mwanamke mwingine akikasirika, ananuna,

haongei! Mtapishana tu kimya kimya. Mawasiliano

kibubu-bubu. Shavu limejaa kama Kobra!

4. Mwingine akishikwa na hasira, period ya ghafla

ghafla inafuata!

5. Wako wanawake ambao, akichukia,

Atakachokishika usipokimbia anakutandika na

anaweza kukuchoma na kisu,, majuto baadaye!

6. Mwanamke mwingine akikasirika, hasira zake

zinaishia kwenye kuvunja-vunja vyombo. Au saa

nyingine kugombeza-gombeza wafanyakazi na

watoto! Dizaini hii, huwa ni wale waliokosa

kukidhiwa haja za kihisia/ ndoa na waume zao!

7. Mwanamke mwingine akikasirika, Mtajuana

kitandani panapo usiku, Nakwambia utaungama

yoote!

8. Kuna wengine wakitibuliwa, hukimbilia kufunga

mabegi na kuondoka!

9. Wapo ambao wakikasirika, wanagoma kupika!

10. Wengine wakichukia, wanaamua kwenda kulala

kimyaaa!!

11. Wanawake wengine wakikasirika, tumbo

linakata, na pengine mpaka wanaharisha!

13. Wako ambao wakishikwa na hasira, huingia

kwenye maombi na kuugua kusikoweza kutamkwa.

Uchungu ukiisha, wananawa uso na kwenda

sokoni.

14. Yuko ambaye akishikwa na hasira, hucheka

saaanaaa.... Hutajua kama amekasirika! Dizaini hii

ni hatari sana, maana anaweza kukudhuru

kiurahisi.

15 Kuna wale ambao yeye akiwa na hasira anatafuta earphone au anawasha Muziki kisha anaweka sauti hadi mwisho, Siku hiyo ni kuskiliza muziki mwanzo mwisho hawa huchanganya na kutoongea na mtu yeyote zaidi ya kujiimbia tu

𝐃𝐚𝐫𝐚𝐬𝐚 𝐥𝐢𝐦𝐞𝐢𝐬𝐡𝐚 𝐇𝐨𝐧𝐠𝐞𝐫𝐚 𝐤𝐰𝐚 𝐤𝐮𝐬𝐡𝐢𝐫𝐢𝐤𝐢🎊 🎊 🎊 🎊 🎊 🎊 🎊 🎊 🎊 🎊 🎊 🎊

𝗣𝗔𝗚𝗘 𝗬𝗘𝗧𝗨 𝗜𝗡𝗔 𝗠𝗔𝗦𝗢𝗠𝗢 𝗠𝗭𝗨𝗥𝗜 𝗦𝗔𝗡𝗔 𝗙𝗢𝗟𝗟𝗢𝗪 𝗜𝗟𝗜 𝗞𝗨𝗝𝗜𝗙𝗨𝗡𝗭𝗔 𝗭𝗔𝗜𝗗𝗜

✅ 𝐊𝐔𝐎𝐍𝐀 𝐌𝐀𝐒𝐎𝐌𝐎 𝐘𝐀𝐋𝐈𝐘𝐎𝐏𝐈𝐓𝐀 𝗙𝗢𝗟𝗟𝗢𝗪 𝗪𝗛𝗔𝗧𝗦𝗔𝗣𝗣 👇👇👇

https://whatsapp.com/channel/0029VaDURtaHFxP7IBxQOi36/100

𝗜𝘁𝘀 𝗺𝗲

𝗠𝗮𝘁𝗵𝗮𝘆𝗼 𝗦𝗮𝗻𝗴𝗮

𝟬𝟳𝟲𝟰 𝟰𝟵𝟵 𝟲𝟴𝟲

 𝗠𝘁𝗮𝗮𝗹𝗮𝗺𝘂 𝘄𝗮 𝗺𝗮𝗽𝗲𝗻𝘇𝗶 𝗻𝗮 𝗺𝗮𝗵𝘂𝘀𝗶𝗮𝗻𝗼 𝘆𝗮 𝗩𝗶𝗷𝗮𝗻𝗮™

Tags